Kutoka 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+ Kutoka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+
31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+
19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+