4 Sasa huu ndio uliokuwa ufundi wa kinara cha taa. Kilikuwa cha dhahabu iliyofuliwa. Kuanzia sehemu zake za kando na mpaka kwenye maua yake kilikuwa kimefuliwa.+ Kulingana na maono+ ambayo Yehova alikuwa amemwonyesha Musa, ndivyo alivyokuwa amekitengeneza kinara cha taa.