4 Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa nyundo+ kwa kutumia dhahabu; kuanzia shina lake mpaka maua yake, kilitengenezwa kwa nyundo. Kinara hicho cha taa kilitengenezwa kulingana na maono+ ambayo Yehova alikuwa amemwonyesha Musa.