Kutoka 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtatengeneza mahali hapo patakatifu, yaani, hema la ibada pamoja na vyombo vyake vyote, mkifuata kikamili kielelezo nitakachowaonyesha.*+ Kutoka 25:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Hakikisha kwamba unatengeneza vitu hivyo kwa kufuata kielelezo* ulichoonyeshwa mlimani.+ 1 Mambo ya Nyakati 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa kupitia mwongozo wa roho kuhusu ujenzi wa nyua+ za nyumba ya Yehova, vyumba vyote vya kulia chakula vilivyoizunguka, hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;*+ 1 Mambo ya Nyakati 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Daudi akasema: “Mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu, naye alinipa ufahamu wa kuandika+ mambo yote kuhusu ramani hii ya ujenzi.”+
9 Mtatengeneza mahali hapo patakatifu, yaani, hema la ibada pamoja na vyombo vyake vyote, mkifuata kikamili kielelezo nitakachowaonyesha.*+
12 Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa kupitia mwongozo wa roho kuhusu ujenzi wa nyua+ za nyumba ya Yehova, vyumba vyote vya kulia chakula vilivyoizunguka, hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;*+
19 Daudi akasema: “Mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu, naye alinipa ufahamu wa kuandika+ mambo yote kuhusu ramani hii ya ujenzi.”+