Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa kupitia mwongozo wa roho kuhusu ujenzi wa nyua+ za nyumba ya Yehova, vyumba vyote vya kulia chakula vilivyoizunguka, hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;*+

  • Matendo 7:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, lililotengenezwa kwa kufuata maagizo ambayo Mungu alimpa Musa kulingana na mfano aliokuwa amemwonyesha.+

  • Waebrania 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Watu hao hufanya utumishi mtakatifu kwa mfano wa uhalisi na kivuli+ cha vitu vya mbinguni;+ kama vile Musa, alipokuwa karibu kujenga hema, alipewa amri na Mungu: Kwa kuwa Mungu anasema: “Hakikisha kwamba unatengeneza vitu vyote kwa kufuata kielelezo ulichoonyeshwa mlimani.”+

  • Waebrania 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki