1 Mambo ya Nyakati 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kulikuwa na walinzi wakuu* wanne waliowekwa katika wadhifa huo wa kuaminiwa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba* na hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+ 1 Mambo ya Nyakati 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kuhusu Walawi, Ahiya alisimamia hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.*+
26 Kulikuwa na walinzi wakuu* wanne waliowekwa katika wadhifa huo wa kuaminiwa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba* na hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+
20 Kuhusu Walawi, Ahiya alisimamia hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.*+