Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kuhusu Walawi, Ahiya alisimamia hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.*+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake, maghala yake, vyumba vyake vya darini, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha upatanisho.*+ 12 Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa kupitia mwongozo wa roho kuhusu ujenzi wa nyua+ za nyumba ya Yehova, vyumba vyote vya kulia chakula vilivyoizunguka, hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;*+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waliendelea kuleta kwa uaminifu michango, sehemu za kumi,+ na vitu vitakatifu; na Mlawi aliyeitwa Konania aliwekwa kuwa msimamizi wa vitu hivyo vyote, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki