Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Waisraeli walifanya kazi yote kama Yehova alivyomwamuru Musa.+

  • Hesabu 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa nyundo+ kwa kutumia dhahabu; kuanzia shina lake mpaka maua yake, kilitengenezwa kwa nyundo. Kinara hicho cha taa kilitengenezwa kulingana na maono+ ambayo Yehova alikuwa amemwonyesha Musa.

  • Matendo 7:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, lililotengenezwa kwa kufuata maagizo ambayo Mungu alimpa Musa kulingana na mfano aliokuwa amemwonyesha.+

  • Waebrania 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Watu hao hufanya utumishi mtakatifu kwa mfano wa uhalisi na kivuli+ cha vitu vya mbinguni;+ kama vile Musa, alipokuwa karibu kujenga hema, alipewa amri na Mungu: Kwa kuwa Mungu anasema: “Hakikisha kwamba unatengeneza vitu vyote kwa kufuata kielelezo ulichoonyeshwa mlimani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki