Kutoka 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+ Kutoka 36:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.+
35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+
34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.+