Kutoka 38:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya hilo akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa shaba.+ Hesabu 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao watatia juu yake vyombo vyake vyote ambavyo wao huvitumia kuihudumia kwa ukawaida, vyetezo, nyuma na sepetu na mabakuli, vyombo vyote vya madhabahu;+ nao watatandika juu yake kifuniko cha ngozi za sili na kuitia miti+ yake.
14 Nao watatia juu yake vyombo vyake vyote ambavyo wao huvitumia kuihudumia kwa ukawaida, vyetezo, nyuma na sepetu na mabakuli, vyombo vyote vya madhabahu;+ nao watatandika juu yake kifuniko cha ngozi za sili na kuitia miti+ yake.