Kutoka 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba.+ Hesabu 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na uangalizi ambao wana wa Merari walipewa uwe wajibu wao ulikuwa kusimamia viunzi+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio vyake na vyombo+ vyake vyote na utumishi+ wake wote,
20 Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba.+
36 Na uangalizi ambao wana wa Merari walipewa uwe wajibu wao ulikuwa kusimamia viunzi+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio vyake na vyombo+ vyake vyote na utumishi+ wake wote,