2 Wafalme 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo akashuka, akaanza kujitumbukiza katika Yordani mara saba kulingana na neno la yule mtu wa Mungu wa kweli;+ kisha nyama yake ikarudi kama nyama ya mvulana mdogo,+ naye akawa safi.+ Mathayo 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.”+ Na mara moja ukoma wake ukatakasika.+
14 Ndipo akashuka, akaanza kujitumbukiza katika Yordani mara saba kulingana na neno la yule mtu wa Mungu wa kweli;+ kisha nyama yake ikarudi kama nyama ya mvulana mdogo,+ naye akawa safi.+
3 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.”+ Na mara moja ukoma wake ukatakasika.+