Kutoka 28:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Nao wana wa Haruni utawafanyia kanzu,+ nawe utawafanyia ukumbuu kila mmoja wao, nawe utawafanyia mavalio ya kichwani+ kwa utukufu na uzuri.+ Mambo ya Walawi 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
40 “Nao wana wa Haruni utawafanyia kanzu,+ nawe utawafanyia ukumbuu kila mmoja wao, nawe utawafanyia mavalio ya kichwani+ kwa utukufu na uzuri.+
13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.