30 Baada ya hayo Musa akachukua sehemu ya mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na sehemu ya damu iliyokuwa juu ya madhabahu na kuvitapanya juu ya Haruni na mavazi yake na juu ya wanawe na mavazi ya wanawe. Basi akamtakasa+ Haruni na mavazi yake na wanawe+ na mavazi ya wanawe.