Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nawe utachukua sehemu ya damu hiyo iliyo kwenye madhabahu na sehemu ya mafuta yanayotumiwa kutia mafuta,+ nawe utayatapanya juu ya Haruni na mavazi yake na juu ya wanawe na mavazi ya wanawe walio pamoja naye, ili yeye na mavazi yake na wanawe na mavazi ya wanawe walio pamoja naye yapate kuwa matakatifu kwelikweli.+

  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe,+ nawe utawatakasa watende wakiwa makuhani kwangu.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki