25 Kisha utafanya kutokana nayo mafuta matakatifu ya kutia mafuta, marhamu, mchanganyiko wa kazi ya mtengenezaji wa marhamu.+ Yatakuwa mafuta matakatifu ya kutia mafuta.+
61Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+ kwa sababu Yehova amenitia mafuta+ niwatangazie wapole habari njema.+ Amenituma kufunga majeraha ya waliovunjika moyo,+ kutangaza uhuru kwa wale waliochukuliwa mateka+ na kufunguliwa kabisa kwa macho hata kwa walio wafungwa;+