Mambo ya Walawi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Na kila toleo kati ya toleo lako la nafaka utalikoleza kwa chumvi;+ wala usikubali chumvi ya agano+ la Mungu wako ikosekane kwenye toleo lako la nafaka. Pamoja na kila toleo lako utatoa chumvi.
13 “‘Na kila toleo kati ya toleo lako la nafaka utalikoleza kwa chumvi;+ wala usikubali chumvi ya agano+ la Mungu wako ikosekane kwenye toleo lako la nafaka. Pamoja na kila toleo lako utatoa chumvi.