Kutoka 35:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na kile kinara cha taa+ cha kuangaza na vyombo vyake na taa zake na yale mafuta+ ya kuangaza; Kutoka 37:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+
17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+