Kutoka 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba+ kutokana na mbao za mshita.+ Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.+
25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba+ kutokana na mbao za mshita.+ Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.+