Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Naye Haruni atafukiza+ uvumba uliotiwa manukato+ juu yake. Asubuhi kwa asubuhi, anapotayarisha taa,+ ataufukiza.⁠

  • Kutoka 39:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na madhabahu+ ya dhahabu na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na ule uvumba uliotiwa manukato+ na kile kisitiri+ kwa ajili ya mwingilio wa hema,

  • Zaburi 141:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+

      Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+

  • Luka 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na umati wote wa watu ulikuwa ukisali nje katika saa hiyo ya kutoa uvumba.+

  • Ufunuo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na malaika mwingine akafika na kusimama kwenye madhabahu,+ akiwa na chombo cha uvumba cha dhahabu; naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki