Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+ Matendo 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Na miaka 40 ilipotimia, malaika akamtokea katika mwali wa moto wa mti wa miiba katika nyika ya Mlima Sinai.+
25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+
30 “Na miaka 40 ilipotimia, malaika akamtokea katika mwali wa moto wa mti wa miiba katika nyika ya Mlima Sinai.+