15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+
13 Mimi ndimi Mungu wa kweli wa Betheli,+ ambapo ulitia mafuta nguzo+ na ambapo uliniwekea nadhiri.+ Basi ondoka, toka katika nchi hii urudi kwenye nchi ya kuzaliwa kwako.’”+