Mwanzo 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+ Kumbukumbu la Torati 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+
21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+