2 Na kufikia siku ya saba Mungu akamaliza kazi yake ambayo alikuwa ameifanya, naye akaanza kupumzika siku ya saba kutokana na kazi yake yote ambayo alikuwa ameifanya.+
28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+