Kutoka 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nao wakawahukumu watu katika kila pindi inayofaa. Kesi ngumu walikuwa wakimletea Musa,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe waliishughulikia wakiwa waamuzi. Hesabu 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo Musa akaiweka kesi yao mbele za Yehova.+
26 Nao wakawahukumu watu katika kila pindi inayofaa. Kesi ngumu walikuwa wakimletea Musa,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe waliishughulikia wakiwa waamuzi.