Kutoka 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+ Kumbukumbu la Torati 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye ndiye unayepaswa kumsifu,+ naye ni Mungu wako, ambaye amekutendea wewe mambo haya makuu na yenye kuogopesha ambayo macho yako yameona.+ Isaya 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ulipofanya mambo yenye kuogopesha+ ambayo hatungeweza kuyatumaini, ulishuka chini. Milima ilitetemeka kwa sababu yako.+
16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+
21 Yeye ndiye unayepaswa kumsifu,+ naye ni Mungu wako, ambaye amekutendea wewe mambo haya makuu na yenye kuogopesha ambayo macho yako yameona.+
3 Ulipofanya mambo yenye kuogopesha+ ambayo hatungeweza kuyatumaini, ulishuka chini. Milima ilitetemeka kwa sababu yako.+