Kutoka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nanyi hamtaacha yoyote mpaka asubuhi, lakini yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mtaiteketeza kwa moto.+ Hesabu 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote ulio ndani yake.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria yote ya pasaka.+
10 Nanyi hamtaacha yoyote mpaka asubuhi, lakini yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mtaiteketeza kwa moto.+
12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote ulio ndani yake.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria yote ya pasaka.+