Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nayo nyama ya dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika italiwa siku yake ya kutoa toleo. Hataweka akiba yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi.+

  • Mambo ya Walawi 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Katika siku hiyo italiwa.+ Hamtaacha yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na unga wowote uliokandwa wenye chachu usionekane pamoja nawe katika eneo lako lote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote, ambayo utaitoa dhabihu katika jioni ya siku ya kwanza, isikae usiku kucha mpaka asubuhi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki