Mambo ya Walawi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nayo nyama ya dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika italiwa siku yake ya kutoa toleo. Hataweka akiba yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi.+ Mambo ya Walawi 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Katika siku hiyo italiwa.+ Hamtaacha yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na unga wowote uliokandwa wenye chachu usionekane pamoja nawe katika eneo lako lote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote, ambayo utaitoa dhabihu katika jioni ya siku ya kwanza, isikae usiku kucha mpaka asubuhi.+
15 Nayo nyama ya dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika italiwa siku yake ya kutoa toleo. Hataweka akiba yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi.+
4 Na unga wowote uliokandwa wenye chachu usionekane pamoja nawe katika eneo lako lote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote, ambayo utaitoa dhabihu katika jioni ya siku ya kwanza, isikae usiku kucha mpaka asubuhi.+