32 Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake, kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Walifanya vivyo hivyo.
9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,