Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe utafanya kulabu 50 za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo, kimoja kwa kingine, kwa kulabu hizo, navyo vitakuwa maskani moja.+

  • Waebrania 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini watu ambao wanatoa utumishi mtakatifu katika mfano wa uhalisi+ na kivuli+ cha vitu vya mbinguni; kama vile Musa, alipokuwa karibu kumaliza hema,+ alipewa amri ya kimungu:+ Kwa maana yeye anasema: “Uhakikishe kwamba umevifanya vitu vyote kulingana na mfano wake ambao wewe ulionyeshwa mlimani.”+

  • Waebrania 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki