33 Nao wakaileta maskani+ kwa Musa, lile hema+ pamoja na vyombo vyake vyote,+ kulabu+ zake, viunzi vyake vya mbao,+ miti+ yake na nguzo zake na vikalio+ vyake,
9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,