Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe akafanya kulabu 50 za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.+

  • Kutoka 39:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nao wakaileta maskani+ kwa Musa, lile hema+ pamoja na vyombo vyake vyote,+ kulabu+ zake, viunzi vyake vya mbao,+ miti+ yake na nguzo zake na vikalio+ vyake,

  • Waebrania 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki