Kutoka 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 nawe utaweka ua+ kuzunguka pande zote na kuweka kile kisitiri+ cha lango la ua. Zaburi 84:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+ Zaburi 92:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka.
2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+