6 Mimi nami, tazama! Ninamweka pamoja naye Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani,+ na katika moyo wa kila mwenye hekima ninaweka hekima, ili kwa kweli wapate kufanya kila kitu ambacho nimekuamuru:+
2 Naye Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova alikuwa ametia hekima+ moyoni mwake, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kwenda kufanya kazi.+