13 Hiki ndicho watakachotoa wale wote wanaopita kwa wale waliohesabiwa: nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Gera 20 zinatoshana na shekeli moja. Nusu shekeli ndio mchango kwa Yehova.+
16 Na kwa bei ya ukombozi kwa ajili yake kuanzia umri wa mwezi mmoja na kuendelea utamkomboa, kwa thamani iliyokadiriwa, shekeli 5 za fedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Ni gera 20.+