5 Kisha utayachukua yale mavazi+ na kumvika Haruni kwa kanzu na koti lisilo na mikono la efodi na kwa efodi na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga hicho kwa kukaza kwa mshipi wa efodi.+
19 yale mavazi+ yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika patakatifu, yale mavazi matakatifu+ kwa ajili ya Haruni kuhani na yale mavazi ya wanawe kwa ajili ya kutenda wakiwa makuhani.’”