20 Wewe umesema (lakini hilo ni neno la midomo), ‘Kuna mashauri+ na nguvu kwa ajili ya vita.’ Sasa umeweka tegemeo lako katika nani, hivi kwamba ukaniasi+ mimi?
2 Azaria mwana wa Hoshaya+ na Yohanani+ mwana wa Karea na watu wote wenye kimbelembele+ wakamwambia Yeremia: “Ni uwongo ambao wewe unasema.+ Yehova Mungu wetu hakukutuma, kusema, ‘Msiingie Misri kukaa humo mkiwa wageni.’+