7Sasa ikawa kwamba katika siku ambayo Musa alimaliza kuisimamisha maskani,+ aliitia mafuta+ na kuitakasa pamoja na vyombo vyake vyote na madhabahu na vyombo vyake vyote. Hivyo akavitia mafuta na kuvitakasa.+
15 Sasa katika siku ya kusimamisha maskani+ wingu lilifunika maskani ya hema la Ushuhuda,+ lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto+ kilikaa juu ya maskani hiyo mpaka asubuhi.