Mambo ya Walawi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Musa akamwita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, akawaambia: “Njooni karibu, wachukueni ndugu zenu kutoka mbele ya mahali patakatifu mpaka nje ya kambi.”+ Hesabu 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na mkuu wa nyumba ya ukoo wa upande wa baba kwa ajili ya familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+
4 Basi Musa akamwita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, akawaambia: “Njooni karibu, wachukueni ndugu zenu kutoka mbele ya mahali patakatifu mpaka nje ya kambi.”+
30 Na mkuu wa nyumba ya ukoo wa upande wa baba kwa ajili ya familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+