Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi alipokuwa na shida wakati wa kuzaa, yule mzalishaji akamwambia: “Usiogope, kwa maana utamzaa mwana huyu pia.”+

  • Mwanzo 38:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tena, alipokuwa akizaa mmoja akaunyoosha mkono wake, na mara moja mzalishaji akamfunga kitambaa chekundu mkononi, akisema: “Huyu alitoka kwanza.”

  • Ezekieli 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na kuhusu kuzaliwa kwako, katika siku ya kuzaliwa+ kwako uzi wa kitovu chako haukuwa umekatwa, na katika maji hukuwa umeoshwa ili usafishwe, nawe hukuwa kamwe umepakwa chumvi, wala hukuwa umefungwa kwa nguo kamwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki