Kutoka 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Yehova akamwambia: “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” naye akajibu: “Fimbo.”+ Kutoka 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni; na Yehova akatoa mingurumo na mvua ya mawe,+ na moto ulikuwa ukishuka chini mpaka duniani, naye Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri.
23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni; na Yehova akatoa mingurumo na mvua ya mawe,+ na moto ulikuwa ukishuka chini mpaka duniani, naye Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri.