33 Sasa Musa akaondoka jijini kutoka kwa Farao, akamnyooshea Yehova mikono yake, nayo mingurumo na mvua ya mawe zikaanza kukoma na mvua haikunyesha juu ya dunia.+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+