2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+
2 Wewe—wewe utasema mambo yote nitakayokuamuru;+ naye Haruni ndugu yako atamwambia Farao,+ naye lazima awaruhusu wana wa Israeli waondoke nchini mwake.+