20 Katika wakati huo maalumu Musa akazaliwa,+ naye alikuwa mwenye sura nzuri+ machoni pa Mungu. Naye akanyonyeshwa kwa miezi mitatu nyumbani mwa baba yake.
23 Kwa imani Musa alifichwa kwa miezi mitatu na wazazi wake baada ya kuzaliwa kwake,+ kwa sababu waliona kwamba huyo mtoto mchanga alikuwa mwenye kupendeza+ nao hawakuliogopa agizo+ la mfalme.