1 Mambo ya Nyakati 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+ Waebrania 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela.+ Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu. Na Eri mzaliwa wa kwanza wa Yuda akawa mbaya machoni pa Yehova, hivi kwamba yeye akamuua.+
14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.