Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na tazama, kulikuwa na masuke saba ya nafaka, membamba, yaliyounguzwa na upepo wa mashariki,+ yakikua baada ya yale mengine.+

  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Zaburi 78:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Akaanza kufanya upepo wa mashariki uvume mbinguni+

      Na kufanya upepo wa kusini uvume kwa nguvu zake.+

  • Yona 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ikawa kwamba, mara jua lilipoangaza, Mungu akaweka pia upepo wenye kukausha wa mashariki+ na jua likazidi kukichoma kichwa cha Yona, hivi kwamba akawa anazimia;+ akaendelea kuomba kwamba nafsi yake ife. Akasema kwa kurudia-rudia: “Afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki