Matendo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye alipomwona mtu fulani akitendewa isivyo haki, akamtetea na kulipiza kisasi kwa ajili ya yule mwenye kutendewa vibaya kwa kumpiga na kumuua Mmisri.+ Waebrania 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa imani Musa, alipokuwa mtu mzima,+ alikataa kuitwa mwana wa binti ya Farao,+
24 Naye alipomwona mtu fulani akitendewa isivyo haki, akamtetea na kulipiza kisasi kwa ajili ya yule mwenye kutendewa vibaya kwa kumpiga na kumuua Mmisri.+