8 Ndipo Abramu akamwambia Loti:+ “Tafadhali, usiruhusu ugomvi wowote uendelee kuwa kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.+
26 Na siku iliyofuata akawatokea walipokuwa wakipigana, naye akajaribu kuwapatanisha tena wawe na amani,+ akisema, ‘Wanaume, ninyi ni ndugu. Kwa nini mnatendeana isivyo haki?’+