Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Abramu akaenda kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia, na Loti akaenda pamoja naye. Na Abramu alikuwa na umri wa miaka 75 alipoondoka Harani.+

  • Mwanzo 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye Abrahamu alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati Isaka mwana wake alipozaliwa.

  • Mwanzo 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa.

  • Mwanzo 47:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Yakobo akamwambia Farao: “Siku za miaka ya makao yangu katika nchi ya kigeni ni miaka 130.+ Zimekuwa chache na zenye kutaabisha,+ nazo hazijafikia siku za miaka ya maisha ya baba zangu, siku za makao yao katika nchi ya kigeni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki