Methali 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha,+ lakini wasio na uzoefu wameendelea mbele nao lazima waumie.+ Waebrania 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini bila kuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.+
3 Mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha,+ lakini wasio na uzoefu wameendelea mbele nao lazima waumie.+
27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini bila kuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.+