18 Basi Mungu akawafanya watu wazunguke kupitia njia ya nyika ya Bahari Nyekundu.+ Hata hivyo wana wa Israeli walitoka nchini Misri wakiwa wamejipanga kivita.+
7 Halafu wakaondoka Ethamu, wakageuka na kurudi nyuma kuelekea Pihahirothi,+ ambapo panaelekeana na Baal-sefoni;+ nao wakapiga kambi mbele ya Migdoli.+